#HISTORIA_YA_WIMBO_NO. 131. *#Baba Anilinda Trust In God*
🎻🎻🎻🎻🎻
katika video ,wanaitwa #Harmonizing_Fouth wakiuimba huu wimbo..........old school song.
Tumekuwa tukisikia nyimbo flani flani za zamani ambazo kwa namna ya pekee zinatukumbusha matendo makuu ambayo Mungu ametutendea.
👉 Huu wimbo ulitokea kuandikwa na William C. Martin ( *#1864-1914*), ambaye alikuwa Mchungaji wa kanisa. Vyanzo vinasema kuwa mtu wa kumpa hongera katika wimbo huu ni mtungaji mahiri duniani , *#Charles_Hutchinson_Gabriel* ( *#1856-1932* ) ,inawezekana ndiye aliyeandika wimbo huo ila sio mtoa maneno, *#Gabriel* ambaye inasemekana ametunga nyimbo *#7000* hadi *#8000* ambazo nyingi zinapatikana katika vitabu vya *#Nyimbo_za_Kristo.*
👉 Watungaji wengi wa nyimbo walikulia katika mashamba au huko vijijini na hata baba yake *#Charles_Gabriel* alikuwa akiongoza waimbaji katika shule ya huko kwao, na *#Charles_Gabriell* alikuwa akiupenda muziki. Inasemekana alijifunza pekee yake kupiga *#Organi_ya familia*. na hata hivyo alikuwa ana elimu flani kutoka shuleni iliyo msaidia. Alianzisha kikundi chake cha uimbaji na kukiongoza pekee yake na kuimba sehemu mbalimbali akiwa na miaka 17.
🎻🎸🎺🎷🥁🎹🎼🎤🎻
👉 Watu wanasema kuwa *#Mchungaji* wa kanisa la kwanza la *#Presbyterian* lililopo huko *#Wilton_Lowa*, alimwona *#Charless_Gabriel* akiwa katika matembezi yake huko mjini. Alimwita na kumuuliza ,kama anaweza akatengeneza wimbo mzuri utakao endana na hubiri lake. Yule mchungaji ambaye ni *#William_C_Martin* ,alimweleza hubiri lake lote *#Kijana_Gabriel* na baada ya week moja *#Gabriell* alikuwa kashauandika huo wimbo, kwani alitengeneza maneno na ala yake ( *#Instrument_music* ).
🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼
👉 Kwa hiyo haijalishi kuwa nani aliuandika wimbo huo lakini maneno hayo ni maalumu sana.............. [ Mara zote ni rahisi sana kumwamini Mungu na kumtumainia wakati mambo yako yanapo kuwa yamefanikiwa na huna tatizo lolote, ila matatizo yakianza, ni rahisi sana kuogopa na kusononeka kuwa kwa nini Mungu amekuacha....] ...........Ila wimbo huu unatukumbusha kuwa tunatakiwa kumwamini Mungu wakati wote, hata wakati wa dhoruba kali na vita vikali safarini au katika mabonde na majabari ya tabu. Yeye yuko pale kutulinda na kutuangazia wakati wa taabu hizo na changamoto mbalimbali za maisha.
🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤
👉 Kubali wimbo huu ukukumbushe ni Mungu tu na ufalme wake ndio unaotakiwa uutumainie katika wakati mgumu na wakati wa raha maishani mwako.
👇🏼👇🏼👇🏼
🎧🎧🎧🎧🎧🎧🎧
(1) I trust in God wherever I may be,
Upon the land or on the rolling sea,
For, come what may, from day to day,
My heav'nly Father watches over me.
I trust in God, I know He cares for me,
On mountain bleak or on the stormy sea;
Tho' billows roll, He keeps my soul,
My heavn'ly Father watches over me.
🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳
Imetayarishwa na mimi *#Polite_Trio_Harrison*
Mbarikiwe.
House Of Advent Singers
Total Pageviews
Wednesday, 6 September 2017
HYMN HISTORY
Tuesday, 5 September 2017
FAHAMU AINA ZA SAUTI ZA UIMBAJI ZITUMIWAZO NA WAIMBAJI
🎼Created🎼 BY
🅿OLITE ♓ARRISON 🎶🎵🎶🎵
〰〰〰〰〰〰〰〰〰
AINA ZA SAUTI ZA KUIMBA🎤🎻🎹🎷🎺🎸
_________________________
Kwa kawaida tumezoea kuimba pasipo kufahamu au kufahamu kwa uchache kuwa unaimba sauti ipi au sauti ya ngapi. Leo napenda kuchukua nafasi hii na kuwajulisha Aina za sauti zinazotumika na waimbaji wengi duniani.
+-+-+-+-+-+-+-+-+-+-+-+-+-+-+-+-+TUANZE NA SAUTI YA KWANZA----SOPRANO.
🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧
1.⛳.soprano. Hii ndio sauti ya juu kabisa ya kike (HIGHEST FEMALE VOICE)----range yake ni B3-G6 kwenye piano.
🎸. AINA ZA SOPRANO NI HIZI ZIFUATAZO.
----------------------------------------
I.coloratura.
II.lyric
III.soubrette. n.k
HIZI ZOTE ZINATOFAUTIANA NA WACHACHE HAPA DUNIANI WANAWEZA KUZITUMIA.
2.⛳⛳MEZZO-SOPRANO. Hii ni aina nyingine ya sauti ya kwanza (HIGHEST FEMALE VOICE). Hii ina range G3-A5 kwenye piano. Pia inaitwa SOPRANO 2.
SAUTI YA PILI
🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧
3.⛳⛳⛳ CONTRALTO Hii ndio inaitwa (LOWEST FEMALE VOICE). Katika kwaya nyingi Contralto inafahamika kama ALTO na hii huwa inaimba kum-support SOPRANO........Na wataalamu wa muziki wanasema TRUE ALTO ni nzuri kwenye nyimbo za SOLO kuliko soprano.
SAUTI YA TATU.
🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧
5.⛳⛳⛳⛳⛳COUNTERTENOR. Hii inafaa kuchanganya na sauti zingine zote na ukapenda wimbo (RAREST OF ALL VOICE). Ni sauti ya kiume inayofanana kama soprano au mezzo soprano na ndio siku hizi inapendwa kwenye kwaya nyingi duniani za kiadventist. Hii ina range C3-B4 kwenye piano.
6.⛳⛳⛳⛳⛳⛳
TENOR. Hii ni sauti ya juu ya kiume, (HIGHEST MALE VOICE). Hii ina range ya C3-B4 kwenye ambayo ni 2 octave tu. Wanaume wengi wanaoanza kuimba kwenye kwaya wanapenda kuimba tenor kuliko sauti nyingine.
7.⛳⛳⛳⛳⛳⛳⛳
BARITONE. Hii ni sauti yenye range ya G2-B4 kwenye piano. kama huijui baritone nitakuambia leo. Kawaida unapoimba ALTO au BASS na ukashindwa kufikia NOTE za wimbo hapo ujue umeimba baritone.
SAUTI YA NNE
🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧🚧
8.⛳⛳⛳⛳⛳⛳⛳⛳
BASSS. Hii ina range kati ya D2-E4 kwenye piano. Inatambulika kama sauti ya chini ya kiume (LOWEST MALE VOICE). Bass nayo ina aina zake na leo nitakuonyesha.
I. ACTING BASS.
II. HEAVY ACTING BASS.
III. SERIOUS BASS.
Kwa ujumla tukianza kuchambua sauti moja moja tutachambua sauti 24. Ila wengi tunajua kuna sauti nne..........hayo ni makundi ya sauti.
Brought By POLITE.
🎶🎶MBWANA ASIFIWE🎶🎶
Saturday, 22 July 2017
DOWNLOAD NA SIKILIZA WIMBO UITWAO "TUTAPATAJE WOKOVU", WIMBO WA KWAYA NZURI KUTOKA KWAYA YA "MWISENGE ADVENTIST CHOIR"
UNAPENDA MUZIKI MTAMU?........... #Mwisenge_Adventist_Church_Choir wanakuletea wimbo uitwao #Tutapataje_Wokovu.........Ingia na download.
https://gospelmusikcloud.com/track/tutapataje-wokovu/
HISTORIA YA WIMBO-MSIFU MUNGU
#Historia_Ya_Wimbo_Msifu_Mungu*
#PRAISE_GOD_FROM_WHOM_ALL_BLESSING_FLOW_
ππΏ Ni wimbo ambao ulitungwa na kuandikwa na *Bishop Thomas Ken*
ππΏ Katika kitabu cha nyimbo za Kristo kiitwacho, *"The United Methodist Hymnal"*..........wimbo huu upo No. 95.......katika kitabu kidogo cha kiswahili *"Nyimbo Za Kristo"* wimbo huu upo No. 12.
ππΏ Huko Marekani, kuna tarehe maalumu kila mwaka wa tukio liitwalo , *"Thanks Giving"* ambapo nyimbo hutumika na kutoa sadaka maalumu kwa Mungu, wimbo huu pamoja na nyimbo nyingine kama hizi hutumika sana kwa ajili ya Kumsifu na kumshukuru Mungu............
ππΏ Kitaalamu nyimbo hizi za kumsifu Mungu huitwa , *"Doxology"*........ neno hilo limetolewa katika Lugha ya kigiriki likimaanisha *"Glory Saying-Kusema Utukufu"* ........Yaani *"Holy Trinity-Utatu Mtakatifu"*
ππΏ *Bishop, Thomas Ken*, alizaliwa mwaka *1637 na akafa mwaka 1711*
Maisha yake wanasema kuwa alilelewa kama Yatima lakini alitunzwa na dada yake aliyeitwa *Anna* pamoja na shemeji yake aliyeitwa *Izaak Walton*. Walimpeleka katika shule ya wavulana tupu katika chuo cha *Winchester* toka (1651- 1656).......... na baada ya masomo yake alijiunga chuo kikuu cha *Hart Hall, Oxford, Na New College, Oxford ( BA 1661, MA 1664).
ππΏ Baada ya hapo aliapishwa kuwa *kasisi wa Anglican mwaka 1662, akipagwa katika kuhudumu katika parish mbalimbali nchini uingereza...........Pia mwaka (1679-1680) alichaguliwa kuwa chaplain wa *Princess Mary wa Orange*........
na mwaka (1683-1684) ,alikuwa chaplain wa *Mfalme wa uingereza, _Mfalme Charles II_*........... Lakini pia mwaka (1685) alichaguliwa kuwa *Bishop* wa *Bath na Wells*
ππΏ Wakati wa utawala wa *Mfalme James II*, Alifungwa katika *mnara wa London-Tower of London* kwa kosa la kutokubaliana na maazimio ya mfalme, ila baadaye walimrudisha kazini. Lakini pia wakati wa kuapishwa kwa mfalme mwingine aliyeitwa *Mfalme William III* , Ken alikataa kuapa kumtii na kufanya naye kazi. Kwa hiyo *Thomas Ken* aliacha kazi yake na akaishi maisha yake yote yaliyobakia katika nyumba ya familia yake *Bwana, Weymouth* huko *Wilshire*.
ππΏ Tarehe mahususi ya lini wimbo huu ulitungwa haifahamiki ila mwaka 1674 ndio tarehe ambapo wimbo ulionekana na kuanza kuimbwa katika mikusanyiko ya Wakristo.
*_HISTORIA YA WIMBO NA MAANA YA WIMBO_*
ππΏ Kuna nyimbo mbili ambazo ni *Awake my soul and with the Sun* na mwingine *Glory to thee, my God , This Night*...........Hizi nyimbo mbili ziliekezea hali ya Asubuhi ,Jioni na Usiku wa manane............nyimbo hizo alizipata katika chemba yake aliyokuwa akilala katika *Chuo cha Winchester* ,na alikumbuka kuwa ni vizuri kuelezea uzuri na upendo wa Mungu asubuhi sana, na ukweli wake wakati wa Usiku.
So, wimbo huu wa *Msifu Mungu*, Ken aliutunga kuelezea mandhari ya fikra hizo hizo kusema utukufu wa Mungu ( *Doxology*)
ππΏ Wimbo huu umeimbwa sana kuliko nyimbo zote katika Ibada za Wakristo duniani.
ππΏ Tazama *Zaburi 96: 11-12* na *Zaburi 150:6*
Uone Doxology ya wimbo upoje.
♻♻♻♻♻♻♻♻
*MUNGU AKUBARIKI*
Imeletwa kwenu na mimi mfasili wako *Polite-Trio*
Tukutane Wakati Mwingineπ€